Habari RFI-Ki
RFI
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Location:
United States
Genres:
News & Politics Podcasts
Networks:
RFI
Description:
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Language:
Swahili
Episodes
Maoni ya msikilizaji kuhusu yaliojiri nchi mwake wiki hii
5/7/2024
Duration:00:10:06
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
4/30/2024
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia
Duration:00:10:00
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
4/30/2024
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa
Duration:00:10:13
Sikiliza maoni yako kwenye makala Habari Rafiki Mada huru
4/26/2024
Duration:00:10:00
Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu
4/25/2024
Umoja wa Afrika, unasema ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali inatia hofu na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii.
Duration:00:09:51
Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali
4/24/2024
Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya, Uganda na Tanzania zikipendekeza mabadiliko ya sheria ili kuongeza kodi, kwa lengo la serikali kuongeza mapato
Duration:00:09:53
Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC
4/23/2024
Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.
Duration:00:09:52
Maoni yako kwenye mada huru makala habari rafiki
3/29/2024
Duration:00:09:41
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
3/26/2024
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.
Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.
Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?
Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?
Duration:00:09:57
Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana
3/20/2024
Mamia ya raia wa Gambia wakiwemo wanawake wamefanya maandamano juma hili kuunga mkono sheria inayohalalisha ukeketaji wa wasichana na wanawake
Duration:00:10:08
DRC yarejesha adhabu ya kifo ikiwalenga wahaini
3/20/2024
Duration:00:10:19
Kila Ijumaa ni nafasi kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili
3/15/2024
Kila Ijumaa una nafasi ya kuchangia mada yoyote ndani ya makala Habari Rafiki, kuhusu taarifa zetu au kile kinachoendelea hapo ulipo.
Juma hili haya ni baadhi ya maoni yako.
Duration:00:10:03
Kenya : Yasitisha mpango wa kutuma polisi Haiti
3/13/2024
Kenya imetangaza kusitisha mpango wa kutuma polisi wake 1000 nchini Haiti baada ya kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Ariel Henry.
Hata hivyo, inasema mpango huo utaendelea baada ya kupatikana kwa serikali mpya.
Unazungumzia vipi uamuzi huu wa Kenya ?
Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Duration:00:09:51
Dunia: Mwezi mtukufu wa Ramadhan waanza rasmi
3/12/2024
Waumini wa dini ya Kiisilamu wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kipindi hiki mataifa mengi ya Afrika mashariki yakishuhudia mfumko wa bei za bidhaa.
Serikali zetu zifanye nini kupunguza mfumko wa bei za bidhaa?
skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni yako
Duration:00:09:55
Ukeketaji donda sugu UNICEF yasema
3/11/2024
Katika makala haya ya Habari Rafiki, tunajadili kauli ya shirika la kutetea haki za watoto la UNICEF, kwamba wasichana milioni 230 duniani wamekeketwa, ikiwa ni ongezeko la asilimia tano katika kipindi cha miaka nane takwimu hizi zikitia hofu.
Unadhani tunapashwa kubaliana vipi na tamaduni hii ?
Skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni yako
Duration:00:10:00