SBS Swahili-logo

SBS Swahili

News & Politics Podcasts

Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

Location:

Australia

Description:

Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

Language:

Swahili


Episodes

Taarifa ya Habari 30 Mei 2023

5/30/2023
Kampuni moja iliyopewa kandarasi imesimamishwa kushiriki katika miradi yote kubwa ya reli, baada yaku kumbwa kwa kasha ya utapeli jimboni Victoria.

Duration:00:20:42

Jinsi yakupata nyumba ya kukodi Australia

5/30/2023
Sasa hivi, kuna chini ya nyumba 50,000 za kukodisha kote nchini. Miaka mbili iliyopita, idadi ya nyumba hizo ilikuwa karibu mara mbili.

Duration:00:11:02

Taarifa ya Habari 28 Mei 2023

5/28/2023
Wiki ya Maridhiano ya Kitaifa imeanza kote nchini na wanaharakati wamesema, tukio la mwaka huu ni mhimu haswa kwa sababu ya kura ya maoni ijayo kwa sauti yawa Australia wa kwanza bungeni.

Duration:00:20:34

Wito wa kuunga mkono kura ya Voice waongezwa katika siku ya National Sorry Day

5/28/2023
Miaka sita baada ya kutangazwa kwa Kauli ya Uluru kutoka moyoni, viongozi wa jamii ya kwanza na serikali kwa mara nyingine wame toa wito kwa kuanzishwa kwa sauti yawa Aboriginal na wanavisa wa Torres Strait bungeni kupitia mafanikio katika kura ya maoni.

Duration:00:08:52

Swahili:The Uluru Statement from the Heart

5/25/2023
Mnamo Mei 2017, wajumbe wa Waaboriginal na Torres Strait Islander walikusanyika katika Mkutano wa kwanza Kitaifa wa Katiba ya Kitaifa karibu na Uluru na kupitisha kauli ya Uluru kutoka Moyoni.Tamko hilo linatoa ramani ya njia ya kutambua Mataifa ya Kwanza katika Katiba ya Australia, ikipendekeza marekebisho ya kimuundo katika pande tatu; Sauti, Mapatano na Ukweli. Ilifuata mazungumzo ya miaka miwili yaliyoundwa na kuongozwa na Mazungumzo 13 ya Kikanda ya Mataifa ya Kwanza na ilipitishwa na wajumbe 250 wa Waaboriginal na Torres Strait Islander.Inataka kuanzisha uhusiano kati ya watu wa Mataifa ya Kwanza ya Australia na taifa la Australia kwa kuzingatia ukweli, haki na uamuzi wa kibinafsi kusonga mbele kuelekea upatanisho, bila kuachia zama kuu za enzi.

Duration:00:04:11

Dj Swazz Damu "wafanya biashara watapata hasara kubwa baada ya Kenya kuchujwa kutoka Rugby7s"

5/24/2023
Wapenzi wa mchezo wa raga wa wachezaji saba, wanaendelea kukabiliana na taarifa ya timu ya taifa ya Kenya kushuka daraja katika mchezo wakimataifa wa raga.

Duration:00:07:29

Taarifa ya Habari 23 Mei 2023

5/23/2023
Mweka hazina wa shirikisho ametetea afueni yake ya gharama ya maisha kupitia bajeti, wakati viwango vya riba vina ongezeka pamoja na mfumuko wa bei kuongezeka naku waathiri wa australia wengi.

Duration:00:19:31

Jay "kuchujwa kwa Kenya kutoka Rugby 7s yakimataifa, ni pigo na ishara ya ukuaji wa mchezo huo"

5/23/2023
Taarifa ya timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba ya Kenya, kushushwa daraja imepokewa kwa huzuni kubwa miongoni mwa mashabiki na wadau wa mchezo huo.

Duration:00:08:46

Taarifa ya Habari 21 2023

5/21/2023
Upinzani wa shirikisho waukosoa mpango wa Waziri Mkuu, kufanya ziara China kabla ya vikwazo vyote vya kibiashara kuondolewa dhidi ya Australia.

Duration:00:18:48

Mahasimu Sudan wakubali kusitisha vita kwa siku 7

5/21/2023
Pande hasimu nchini Sudan, zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku saba kuanzia Jumatatu.

Duration:00:06:56

Taarifa ya Habari 16 Mei 2023

5/16/2023
Waziri Mkuu ametupilia mbali madai kuwa sera yamakazi ya serikali, ita andikwa tena katika kongamano lakitaifa la chama cha Labor.

Duration:00:18:30

Kiongozi wa upinzani adai mpango wa uhamiaji katika bajeti utaongeza mzozo wa makazi

5/16/2023
Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amekosoa bajeti ya serikali ya Labor ya 2023, akisema haifanyi chochote kusaidia Australia ya kati.

Duration:00:10:08

Je, ni nini athari ya bajeti ya 2023 kwa jumuiya za tamaduni nyingi

5/14/2023
Mara nyingi huwa tunazungumza kuhusu bajeti, kwa misingi ya washindi na wanao poteza.

Duration:00:11:05

Taarifa ya Habari 14 Mei 2023

5/14/2023
Pendekezo la upinzani wa shirikisho kuruhusu wanao pokea malipo ya ustawi kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi, kabla wapoteze malipo yao limekosolewa kama wazo lisilo na mashiko.

Duration:00:19:41

Labor yatoa bajeti yenye ziada na afueni kwa gharama ya maisha

5/14/2023
Kushusha gharama za maisha ya watu nchini Australia, ni lengo kuu la bajeti ya shirikisho ya 2023.

Duration:00:09:53

Jinsi ya kutatua mizozo na majirani wako nchini Australia

5/10/2023
Nyumbani ni sehemu ambako tuna hisi starehe zaidi.

Duration:00:11:25

Mercy "hatuhisi faida zakuwa sehemu ya jumuiya yamadola"

5/10/2023
Sherehe yakutawazwa kwa Mfalme Charles lll ilishuhudiwa na mamilioni yawatu kote duniani.

Duration:00:10:04

Tim "bajeti ya leo itasaidia familia nyingi kukabiliana na gharama ya maisha"

5/9/2023
Ma milioni yawa Australia kote nchini wanasubiri kwa hamu tangazo la bajeti, kujua kama wata pata afueni kwa gharama ya maisha.

Duration:00:08:19

Taarifa ya Habari 9 Mei 2023

5/9/2023
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema bajeti ya serikali yake inazidi makadirio yakiuchumi, kutoka serikali ya zamani ya mseto na itatoa afueni fanisi kwa gharama ya maisha kwa familia.

Duration:00:17:15

Tunaweza tarajia nini katika bajeti ya taifa ya 2023?

5/9/2023
Serikali ya shirikisho ita toa bajeti ya 2023-24 hii leo Jumanne 9 Mei 2023.

Duration:00:08:07