SBS Swahili-logo

SBS Swahili

News & Politics Podcasts

Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

Location:

Australia

Description:

Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

Language:

Swahili


Episodes
Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya Habari 12 Julai 2024

7/12/2024
Polisi wadai baba ambaye amefunguliwa mashtaka ya mauaji ya watoto wake watatu, inadaiwa walifunga milango kuwazuia watu kuondoka ndani ya nyumba iliyo kuwa iki ungua katika kitongoji cha Lalor Park mjini Sydney.

Duration:00:15:44

Ask host to enable sharing for playback control

Sanaa inayo sherehekea uhusiano wa watu wa Mataifa ya Kwanza na bahari

7/12/2024
Ni wiki ya NAIDOC, wakati wakusherehekea historia, utamaduni na mafanikio ya watu wa Mataifa ya Kwanza.

Duration:00:05:29

Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya Habari 11 Julai 2024

7/11/2024
Jumuiya katika maeneo ya magharibi Melbourne, zime ambiwa kuepuka kiwanda cha kemikali ambako moto ulituma moshi wenye sumu angani mjini humo baada ya wazima moto kukabiliana na moto huo usiku kutwa.

Duration:00:06:22

Ask host to enable sharing for playback control

Konje "walicho tumia kutuomba kura ndicho wanatumia kufanya maisha yawe ngumu"

7/10/2024
Muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya, umevutia upinzani mkubwa kutoka wakenya wanao ishi Australia.

Duration:00:08:17

Ask host to enable sharing for playback control

Umuhimu wa itifaki zawa Australia wa asili ni nini kwa kila mtu?

7/9/2024
Kuzingatia itifaki zakitamaduni zawa Aboriginal na wana visiwa wa Torres Strait wa Australia, ni hatua muhimu kwa kuelewa na kuwaheshimu wamiliki wa jadi wa ardhi tunako ishi.

Duration:00:11:55

Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya Habari 9 Julai 2024

7/8/2024
Wakaaji wa Alice Springs wame amka baada ya usiku wa kwanza wa amri ya kuto toka nje ambayo ili wekwa kwa ajili yakupunguza uhalifu.

Duration:00:18:46

Ask host to enable sharing for playback control

Jinsi yakufanya rejesho lako la ushuru Australia

7/8/2024
Kama wewe ni mkaaji wa Australia kwa madhumuni ya ushuru, kuanzia Julai 1, ambayo ni mwanzo wa mwaka wa fedha, lazima uweke wazi mapato yote uliyopata katika mwaka uliopita wa fedha, dhidi ya makato yako ya kodi.

Duration:00:12:01

Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya Habari 5 Julai 2024

7/5/2024
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema muda ambao Seneta Fatima Payman amefanya tangazo lake lakujiuzulu kutoka chama cha Labor ni swala linalo mhusu.

Duration:00:19:05

Ask host to enable sharing for playback control

Phylis "naomba wakenya wadumishe amani na viongozi wasikize maoni yetu"

7/3/2024
Maandamano ya vijana yanayo endelea Kenya, yame zua hisia mseto katika jamii.

Duration:00:05:08

Ask host to enable sharing for playback control

Kinyua "tumekuja kuomboleza walio uawa katika maandamano Kenya"

7/3/2024
Wakenya wanao ishi Canberra, Australia walijumuika mbele ya ubalozi wa nchi yao kuonesha mshikamano na vijana wenzao.

Duration:00:12:12

Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya Habari 28 Juni 2024

6/28/2024
Vyama vya wafanyakazi wanaunga mkono haki ya wabunge wa chama cha Labor kuvuka sakafu na kupiga kura dhidi ya msimamo wa chama, wakisema hatua hiyo ina imarisha vuguvugu la Labor.

Duration:00:17:48

Ask host to enable sharing for playback control

Indigenous art: Connection to Country and a window to the past - Sanaa ya watu wa Asili: Muunganisho wa Nchi na dirisha kwa siku za nyuma

6/27/2024
Embracing their oral traditions, Aboriginal and Torres Strait Islander peoples have used art as a medium to pass down their cultural stories, spiritual beliefs, and essential knowledge of the land. - Kukumbatia mila zao zaku simulia hadhithi, watu waki Aboriginal na wanavisia wa Torres Strait wame tumia sanaa kama mbinu yaku changia hadithi za utamaduni wao, imani za kiroho na maarifa muhimu ya ardhi.

Duration:00:09:36

Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya Habari 27 Juni 2024

6/27/2024
Mbunge wa chama cha Liberal Simon Birmingham amesema amefurahi kuona masaibu yakisheria ya Julian Assange yame isha ila, ilikuwa makosa kwa waziri mkuu kumpigia simu Bw Assange akimkaribisha nyumbani.

Duration:00:06:40

Ask host to enable sharing for playback control

Makena "Viongozi wetu wajifunze kwa yaliyo fanyika Sri Lanka"

6/25/2024
Maandamano dhidi ya muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya hatimae yamefika Australia.

Duration:00:19:34

Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya habari 25 Juni 2024

6/24/2024
Baadhi ya wabunge huru wanataka makaazi yawekwe kuwa haki ya msingi ya binadamu nchini Australia.

Duration:00:19:58

Ask host to enable sharing for playback control

Wahitimu wamatibabu wakimataifa wa elezea kero za sifa zao kutambuliwa Australia

6/24/2024
Takwimu mpya zina onesha ongezeko kwa idadi yama daktari, wauguzi na wataalamu wa afya wanao fanya kazi katika mifumo ya huduma ya afya nchini Australia.

Duration:00:09:20

Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya Habari 21 Juni 2024

6/21/2024
Australia ime ahidi kuendelea kuwasaidia wakaaji wa Papua New Guinea ambao wanapitia wakati mgumu kumudu maisha baada ya kukabiliwa kwa maporomoko mabaya ya ardhi mnamo Mei.

Duration:00:19:29

Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya Habari 20 Juni 2024

6/20/2024
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakani leo kwa sababu ya dai la tisho la bomu lililo funga sehemu za mji wa Melbourne jana Jumatano mchana.

Duration:00:07:18

Ask host to enable sharing for playback control

Patrick 'nimuhimu kwa wakimbizi kuja Australia wakiwa na leseni yakuendesha gari'

6/20/2024
Maadhimisho ya wiki yawakimbizi yalifanyika kote nchini Australia.

Duration:00:17:59

Ask host to enable sharing for playback control

Taarifa ya Habari 18 Juni 2024

6/18/2024
Waziri mkuu wa China Li Qiang ameondoka Canberra baada ya siku yakihistoria ya mazungumzo yakidiplomasia ndani ya bunge la taifa.

Duration:00:17:37