SBS Swahili
News & Politics Podcasts
Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili
Location:
Australia
Genres:
News & Politics Podcasts
Description:
Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili
Language:
Swahili
Episodes
Charlie "Mashabiki wa Bien watarajie bonge la tamasha"
5/4/2024
Wakaaji wa Sydney wana jiandaa kuhudhuria moja ya tamasha kubwa ya mwaka wa 2024, inayo andaliwa na kampuni ya Beast from the East Entertainment.
Duration:00:10:44
Afrika Kusini ya adhimisha mwisho wa kumbukumbu ya apartheid wakati wa ongezeko ya kutoridhika nchini humo
5/3/2024
Africa Kusini ina adhimisha miaka 30 tangu uchaguzi wakwanza wayo waki demokrasia ambapo kila raia wa Afrika Kusini aliweza piga kura.
Duration:00:06:42
Taarifa ya Habari 3 Mei 2024
5/3/2024
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema waendesha mashtaka wa shirikisho walifanya uamuzi mubaya kuruhusu dhamana kwa mfungwa wa uhamiaji, ambaye baadae anadaiwa kumshambulia bibi mmoja mjini Perth katika tukio la uvamizi wa nyumba.
Duration:00:17:50
MCA Tricky "Nili ingia katika ucheshi kujibamba"
5/3/2024
MCA Tricky ni mmoja wa wacheshi maarufu nchini Kenya, kazi zake zina endelea kuwavutia mashabiki wengi.
Duration:00:08:16
Taarifa ya Habari 30 Aprili 2024
4/30/2024
Ripoti mpya kuhusu mauaji nchini Australia, imeonesha kuwa idadi ya wanawake ambao wame uawa na wapenzi wao wa sasa au wazamani, imeongezeka kwa asilimia 28 mwaka huu hadi Juni 2023.
Duration:00:20:42
Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki
4/30/2024
Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.
Duration:00:07:24
Taarifa ya Habari 29 April 2024
4/29/2024
Mratibu wa maandamano yakupinga unyanyasaji dhidi ya wanawake mjini Canberra, amesema waziri mkuu alidanganya kuhusu, kuto ruhusiwa kuzungumza katika tukio hilo.
Duration:00:07:01
Viongozi wadini, Waziri Mkuu waomba uwepo wa heshima na maelewano katika jamii
4/26/2024
Viongozi kutoka jumuiya za wayahudi, waislamu na wakristo mjini Sydney wame kemea kwa pamoja vurugu na maneno yakugawanya ambayo yame ibuka kufuatia matukio mawili ya shambulizi ya visu mjini Sydney.
Duration:00:10:32
Taarifa ya Habari 26 Aprili 2024
4/26/2024
Aliyekuwa mu Australia wa mwaka wa zamani Rosie Batty ame ihamasisha serikali ya New South Wales izingatie kuanzisha tume yakifalme kwa ukatili wa nyumbani.
Duration:00:17:12
Maveterani washerehekewa naku kumbukwa katika siku ya ANZAC
4/25/2024
Maelfu ya watu walijumuika kote nchini Australia, na ng’ambo kutambua siku ya ANZAC.
Duration:00:10:51
Utofauti wa tamaduni zawa Anzac wa Australia
4/24/2024
Kila mwaka tarehe 25 Aprili, huwa tuna adhimisha Anzac Day, ni siku ambapo tunawakumbuka walio hudumu nakufia vitani.
Duration:00:13:17
Shakilah afunguka kuhusu huduma za Rotary Safe Families Victoria
4/24/2024
Shirika la Rotary Safe Families, hutoa taarifa zaku saidia kuzuia unyanyasaji kupitia miongozo iliyo tafsiriwa pamoja na filamu.
Duration:00:09:12
Taarifa ya Habari 23 Aprili 2024
4/23/2024
Waziri Mkuu amewasifu wanajeshi wa Australia walio kuwa sehemu ya historia ya jeshi, katika eneo la Kokoda Track anapo jiandaa kutembea katika nyayo zamagwiji.
Duration:00:18:03
Jinsi yakupata leseni yakuendesha gari Australia
4/22/2024
Kuendesha gari hutoa uhuru na huongeza fursa zakupata kazi ila, shughuli hiyo huja pia na wajibu mkubwa waku hakikisha usalama barabarani.
Duration:00:12:45
Nicky "kupitia Taunet Nelel vijana wengi wame anza kujijenga kimaisha"
4/19/2024
Wakenya wanao ishi Australia watajumuika katika jiji la Dandenong jimboni Victoria, kuhudhuria hafla la shirika la Taunet Nelel.
Duration:00:12:17
Taarifa ya Habari 19 Aprili 2024
4/19/2024
Waziri Mkuu ame sisitiza umuhimu wa mshikamano wakijamii nchini Australia, kufuatia uchunguzi kwa shambulizi lakigaidi la kudungwa kisu ndani ya kanisa wiki hii.
Duration:00:15:34
Kuelewa haki yakuandamana Australia na usawa kati ya uhuru wakujieleza na majukumu yakijamii
4/19/2024
Karibu kila wiki wa Australia walio na shauku huwa nje mitaani, wakipaza sauti zao waki andamana kuhusu maswala muhimu.
Duration:00:11:17
Taarifa ya Habari 18 Aprili 2024
4/18/2024
Askofu aliye dungwa kisu wakati wa ibada iliyo kuwa ikipeperushwa mubashara, amezungumza kwa mara ya kwanza tangu shambulizi hilo linalo shukiwa kuwa lakigaidi, akisema ame msamehe kijana anaye shukiwa kuwajibika kwa shambulizi hilo.
Duration:00:07:39
Kuelewa sheria za vizuizi vya watoto pamoja na mazoezi bora
4/16/2024
Hata kama Australia ina fahari yakuwa na moja ya viwango vya juu zaidi vya matumizi ya vizuizi vya watoto ndani ya gari, watoto wengi bado wana safiri ndani ya magari katika hali isiyo salama kutosha.
Duration:00:12:22
Taarifa ya Habari 15 Aprili 2024
4/15/2024
Polisi wamesema mwanaume aliye uwa watu sita kwa kuwadunga kisu ndani ya soko la Westfield Bondi Junction, ali waepuka wanaume kimakusudi nakuwalenga wanawake na watoto.
Duration:00:06:24