Location:

United States

Genres:

Podcasts

Networks:

RFI

Language:

English


Episodes
Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Uchumi wa Nigeria baada ya kuchaguliwa tena kwa rais Buhari

6/18/2019
makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia hali na mustakabali wa uchumi wa Nigeria baada ya kuchaguliwa tena kwa rais Muhammadu Buhari.

Duration:00:09:46

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Utoroshaji wa mitaji na fedha nje ya nchi

6/18/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inajadili kuhusu tatizo la utoroshaji wa mitaji na fedha nje ya nchi, nini athari zake kwa uchumi wa taifa?

Duration:00:10:03

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Ripoti ya ILO kuhusu ajira duniani

6/18/2019
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia kuhusu ripoti ya shirika la kimataifa linalohusika na Kazi ILO ambayo imetazama tatizo la ajira duniani.

Duration:00:10:00

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Nini kifanyike kuvutia uwekezaji Afrika?

6/18/2019
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia kuhusu mkakati wa bara la Afrika kuvutia wawekezaji.

Duration:00:09:32

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Mkutano wa Davos na ombwe kati ya walionacho na wasionacho

6/18/2019
Makala ya Gurudumu la Uchumi inaangazia mkutano wa jukwaa la kiuchumi wa Davos na ombwe kati ya walio nacho na wasio nacho.

Duration:00:09:28

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Sekta ya madini nchini Tanzania, wadau wanasemaje

6/18/2019
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia mkutano wa kisekta wa wadau wa sekta ya madini nchini Tanzania, mkutano walioufanya na rais wa Tanzania, John Magufuli.

Duration:00:10:02

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Kusimama kwa shughuli za Serikali Marekani baada rais Trump kukataa kupitisha bajeti

1/31/2019
Makala ya Uchumi juma hili inaangazia mvutano wa kisiasa nchini Marekani kati ya wabunge wa Democrats na wale wa chama tawala cha Republican kuhusu ufadhili wa fedha kwaajili ya ujenzi wa ukuta kwenye eneo la mpaka wa nchi hiyo na Mexico, mvutano ambao umesababisha kusimama kwa shughuli za Serikali na kuathiri wafanyakazi wa uma zaidi ya laki 8 nchini humo.

Duration:00:09:33

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Mzozo kuhusu Uingereza kujitoa kwenye umoja wa Ulaya

1/31/2019
Makala ya Uchumi juma hili inaangazia mvutano kati ya wabunge wa chama tawala na wale wa upinzani nchini Uingereza ambao wanavutana kuhusu kuafikiana na mkataba wa umoja wa Ulaya utakaowezesha nchi hiyo kujitoa kwenye umoja wa Ulaya. Juma hili wabunge karibu wote walikataa mkataba ulioafikiwa kati ya waziri mkuu May na viongozi wa umoja wa Ulaya. Mvutano huu una athari gani za kiuchumi kwa Uingereza?

Duration:00:10:01

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Umuhimu wa kuwa na malengo ya kutumiza katika mwaka mpya 2019

1/9/2019
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inajadili kuhusu umuhimu wa kuwa na malengo pale mwaka mpya unapoanza, unatakiwa kufanya nini kutimiza malengo mapya na yale ambayo hukufanikiwa kutumiza katika mwaka uliotangulia? Ungana na mtayarishaji wa makala haya akiwa na Dr Wetengere Kitojo mtaalamu wa masuala ya Diplomasia ya Uchumi.

Duration:00:10:02

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Kwanini wananchi wengi hawawezi kupanga bajeti mwishoni mwa mwaka?

12/26/2018
Makala haya ya Gurudumu la Uchumi inaangazia changamoto za raia kushindwa kupanga bajeti hususani mwishoni mwa mwaka na kujikuta wakiwa na changamoto za kiuchumi mwanzoni mwa mwaka. Ungana na Fredrick Nwaka, aliyekuandalia makala haya.

Duration:00:10:01

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Wajasiriamali wadogo wanashirikishwa katika ujenzi wa uchumi wa viwanda nchini Tanzania?

11/17/2018
Ushiriki wa wananchi katika uchumi wa viwanda unaohubiriwa na serikali ya Tanzania. Sabina Mpelo amekuandalia makala ya Gurudumu la uchumi

Duration:00:10:01

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Bajeti za nchi za Afrika Mashariki

8/12/2018
Makala haya juma hili inazitazama bajeti za nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki na ikiwa zitaweza kuzifikisha nchi hizo katika kufikia nchi za vipato vya kati na kuondokana na utegemezi.

Duration:00:10:03

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Mkutano wa wakuu wa nchi za G7 na mvutano wao na rais wa Marekani

8/12/2018
Makala haya juma hili inaangazia changamoto zilizojitokeza wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi 7a zenye nguvu ya kiuchumi duniani waliokutana nchini Canada, ambapo walivutana pakubwa na rais wa Marekano Donald Trump aliyetangaza kuongeza tozo kwenye bidhaa za chuma na Alminium.

Duration:00:09:47

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Namna nishati mbadala inavyoweza kuchochea uchumi wa viwanda

8/12/2018
Makala haya juma hili inazungumza na wataalamu wa nishati mbadala hasa wanaotenegeneza nishati mbadala ya kuni namna inavyoweza kusaidia katika ukuaji wa uchumi na kuelekea uchumi wa viwanda.

Duration:00:09:59

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Maandalizi kuelekea maonesho ya kimataifa ya saba saba nchini Tanzania manufaa yake kiuchumi

8/12/2018
Makala haya juma hili inazungumza na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania, TanTrade nchini Tanzania kuhusu maandalizi kuelekea maonesho ya kimataifa ya saba saba ambayo hufabnyika nchini Tanzania kila ifikapo mwezi wa saba.

Duration:00:09:52

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Utoroshaji wa mitaji na fedha nje ya nchi, athari za kiuchumi

8/12/2018
Makala ya juma hili inaangazia athari za kiuchumi zinazosababishwa na utoroshaji wa mitaji na fedha nje ya nchi hasa kwa mataifa ya Afrika.

Duration:00:10:03

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Athari za kiuchumi kwa nchi ya Iran baada ya Marekani kujitoa kwenye mkataba wa kimataifa wa nyuklia

8/12/2018
Mtangazaji wa makala haya juma hili ameangazia hatua ya Marekani kujitoa kwenye mkataba wa kimataifa wa nyuklia wa Iran pamoja na kutangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya taifa hilo, je kutakuwa na athari gani kwa uchumi wa dunia?

Duration:00:09:26

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Kuimarika kwa uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi kati ya Tanzania na Israel

5/12/2018
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia kuanza kurejea kwa mahusiano ya kawaida ya kidiplomasia na kiuchumi kati ya nchi ya Israel na Tanzania, ambapo Tanzania imefungua rasmi ubalozi wake nchini Israel.

Duration:00:10:08

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Sehemu ya pili kuhusu umuhimu wa misitu kiuchumi

5/12/2018
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inakuletea sehemu ya pili ya mjadala kuhusu umuhimu wa misitu nchini Tanzania kiuchumi.

Duration:00:09:02

Ask host to enable sharing for playback control

Gurudumu la Uchumi - Umuhimu wa misitu na namna inavyoweza kutumika kibiashara, sehemu ya kwanza

5/12/2018
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia umuhimu wa sekta ya misitu kwenye uchumi wa nchi zinazoendelea.

Duration:00:09:22