Location:

United States

Genres:

Podcasts

Networks:

RFI

Language:

English


Episodes
Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Ulimwengu waadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake huku vitendo hivyo badoi vikiripotiwa katika mataifa mbalimbali

11/26/2019
Dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na wasichana huku kundi hili likikabiliwa na changamoto mbal;imbali kama ndoa za utotoni, kudhalilishwa na kupigwa, ukatili wa kingono n.k. Ungana na Fredrick Nwaka aliyekuandalia makala ya Jua Haki Zako.

Duration:00:09:56

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Haki ya mwajiri na mwajiriwa kwa kuzingatia misingi ya mikataba ya kimataifa na kikanda

11/18/2019
Makala ya Jua haki zako wiki hii inaangazia haki za mwajiri na mwajiriwa kulingana na mikataba ya kimataifa, kikanda na sheria za nchi mbalimbali. Ungana na Fredrick Nwaka akizungumza na mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Tanzania Tito Magoti hasa wakiangazia ripoti ya haki za binadamu na biashara iliyotolewa na kituo cha sheria na haki za binadamu ya mwaka 2018/19.

Duration:00:10:00

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Ukatili wa kijinsia na wajibu wa raia na serikali kukabiliana na vitendo hivyo

8/12/2019
Matukio ya ukatili wa kijinsia bado ni changamoto katika mataifa ya Afrika mashariki na kati, tunaangazia namna utafiti na sheria zinavyoweza kusaidia kutatua changamoto hii. Ungana na Fredrick Nwaka aliyekuandalia makala haya

Duration:00:09:57

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Umoja wa Mataifa unatekeleza kwa vitendo ulinzi wa haki za binadamu

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia ikiwa umoja wa Mataifa unatekeleza kwa vitendo kuhusu ulinzi wa haki za binadamu kiduni.

Duration:00:10:02

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Ripoti ya shirika la save the children kuhusu hali ya watoto

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaitazama kwa kina ripoti ya shirika la kimataifa la Save the Children iliyoangazia hali ya watoto duniani.

Duration:00:10:02

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Uwepo wa vituo vya Mateso kwenye mataifa

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inajadili kuhusu uwepo wa vituo vya kutesea ambavyo vimetengenezwa kwa siri na serikali mbalimbali duniani kwa lengo la kuwahoji kwa njia ya mateso watuhumiwa ili kupata ukweli.

Duration:00:10:01

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Ripoti ya LHRC kuhusu ukatili wa kingono dhidi ya watoto nchini Tanzania

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaidadavua kwa kina ripoti ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini Tanzania LHRC kuhusu ukatili wa kingono dhidi ya watoto.

Duration:00:10:02

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Haki za Wanawake na Watoto Nchini Tanzania

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inazungumza na wanaharakati wa nchini Tanzania ambao wanafanya sanaa ya muziki na wanatumia muziki kufikisha ujumbe kuhusu kuheshimiwa kwa haki za watoto nchini Tanzania. Sikiliza makala ya juma hili.

Duration:00:10:02

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Dhana ya utawala bora barani Afrika na haki za binadamu

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inajadili kwa kina kuhusu dhana ya utawala bora barani Afrika, kwanini viongozi wengi wa Afrika wanangangania kukaa madarakani hata baada ya muhula wao? Kwanini wanashuhudia utekelezaji wa vitendo vya unyanyasaji na ukatili dhidi ya raia wao? fuatilia makala haya.

Duration:00:09:57

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Ripoti ya Amnesty International kuhusu utekelezwaji wa adhabu ya kifo duniani

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia ripoti ya shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International kuhusu utekelezaji wa adhabu ya kunyonga duniani, unajua ni mataifa mangapi bado yananyonga na yale ambayo yameacha kunyonga? Fuatilia makala haya.

Duration:00:09:58

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Dunia inajifunza nini kutokana na mauaji ya kimbari na kuheshimu haki za binadamu

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia maadhimisho ya mauaji ya kimbari, ikitazama kwa kina ni ikiwa dunia imejifunza kutokana na ukatili na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu uliotekelezwa wakati wa mauaji ya Kimbari.

Duration:00:10:04

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Haki za Watoto: Dhulma za Kingono pwani ya Kenya

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto pwani ya Kenya. Karibu usikilize makala haya.

Duration:00:10:09

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Sheria za makosa ya ubakaji Afrika Mashariki

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia sheria za makosa ya ubakaji kwenye nchi za Afrika Mashariki, je zinafanya kazi vema kuzuia ubakaji dhidi ya wasichana? Ungana na mtayarishaji wa makala haya.

Duration:00:09:59

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Mpango wa kufunga kambi ya Daadab: Zipi haki za wakimbizi wanaoishi kwenye kambi

6/16/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia mpango wa Serikali ya Kenya kutaka kuifunga kambi kubwa ya wakimbizi duniani ya Daadab, je hatua hii watetezi wa haki za binadamu wanaitazamaje? Makala ya juma hili inatathmini hatua ya Kenya kwa kina.

Duration:00:10:08

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Haki ya Kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa Sehemu ya Pili

3/11/2019
Karibu katika Sehemu ya pili Katika Makala Haya tukiangazia Haki ya kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa. Unagana na Steven Mumbi katika Makala haya akizungumza na Wakili wa Kujitegemea kutoka nchini Tanzania, Jebra Kambole katika sehemu ya pili ya Haki ya Kupata Dhamana, karibu Msikilizaji.

Duration:00:10:04

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Haki ya Kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa

3/11/2019
Katika Makala Haya tunaangazia Haki ya kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa. Unagana na Steven Mumbi katika Makala haya akizungumza na Wakili wa Kujitegemea kutoka nchini Tanzania, Jebra Kambole katika sehemu ya kwanza ya Haki ya Kupata Dhamana, karibu Msikilizaji.

Duration:00:10:03

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Kuzimwa kwa Internet DRC ni ukiukaji wa haki za binadamu?

1/9/2019
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia hatua ya kuzimwa kwa huduma ya mtandao {Internet} nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, je kitendo kilichofanywa na Serikali kinakiuka haki za binadamu? Ungana na mtayarishaji wa makala haya pamoja na wakili Ojwan'g Agina.

Duration:00:09:57

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Tathimini ya haki za binadamu barani Afrika mwaka 2018 na matarajio ya 2019

12/24/2018
Bara la Afrika mwaka 2018 limekabiliwa na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu ikiwemo mauaji, utekaji nyara, utungwaji wa sheria zinazokinzana na uhuru wa kujieleza na kukusanyika. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya ya Jua haki zako.

Duration:00:09:38

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Raia wa Afrika mashariki wako huru kufanya shughuli za kiuchumi katika nchi wanachama?

12/3/2018
Raia wa Afrika Mashariki wako huru kufanya bioashara na shughuli nyingine za kiuchumi na kijamii katika nchi wanachama za Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi na Sudani Kusini. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya

Duration:00:10:12

Ask host to enable sharing for playback control

Jua Haki Zako - Wanaharakati wanavyokabiliana na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na wasichana

11/26/2018
Novemba 25 kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake lakini bado zipo changamoto zinazomkabili mwanamke. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya

Duration:00:10:09